Waziri
wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akutana na Wamiliki
wa Mabenki Nchini ili kuzitambua Hati Miliki za Ardhi za Kimila katika kutoa
mikopo kwa Wakulima, wajenzi na Wajasiliamali april 14 mwaka huu jijini Dar es salaam katika
ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Mhe. William Lukuvi akiwasisitiza Wamiliki wa Mabenki Nchini kuzitambua Hati
Miliki za Ardhi za Kimila katika kutoa mikopo kwa Wakulima, wajenzi na
Wajasiliamali, kushoto ni Bibi Medelina Kiwayo Meneja Usimamizi wa Taasisi za
Fedha-Benki Kuu na Tuse Joune Kaimu Mkurugenzi Mkuu Chama cha Wenye Mabenki
Tanzania (TBA).
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Mhe. William Lukuvi akiwasisitiza Wamiliki wa Mabenki Nchini kuzitambua Hati
Miliki za Ardhi za Kimila katika kutoa mikopo kwa Wakulima, wajenzi na
Wajasiliamali alipo nao april 14 mwaka huu, jijini Dar es salaam.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Mhe. William Lukuvi akiwasisitiza Wamiliki wa Mabenki Nchini kuzitambua Hati
Miliki za Ardhi za Kimila.



No comments:
Post a Comment