Ligi kuu ya soka inchi England inatarajia
kuendelea kutimua vumbi wikendi hii
katika viwanja mbalimbali , kwa kuanza kushuudia mchezo wa mapema Jumamosi kati ya Norwich na Everton.
Michezo mengine ni pamoja na Crystal Palace watakuwa wenyeji wa
Southampton, Man City watawaalika Swansea City, Sunderland watawakaribisha
Watford, West Ham United itakuwa nyumbani dhidi ya Stoke city, na Bournemouth
wataikabili Man United.
Ligi hiyo itaendelea Jumapiliya
kesho kwa michezo mitatu ambapo Aston Villa watakuwa wenyeji dhidi ya Arsenal,
Liverpool watakuwa nyumbani Anfield dhidi ya West Brom, na Tottenham
watawaalika Newcastle United.
Ratiba kamili ndiyo hii hapa (Saa za Afrika Mashariki):
§
Jumamosi 12 Desemba 2015
§
Norwich v Everton 15:45
§
Crystal Palace v Southampton 18:00
§
Man City v Swansea 18:00
§
Sunderland v Watford 18:00
§
West Ham v Stoke 18:00
§
Bournemouth v Man Utd 20:30
Jumapili
13 Desemba 2015
§
Aston Villa v Arsenal 16:30
§
Liverpool v West Brom 19:00
§
Tottenham v Newcastle 19:00
Jumatatu
14 Desemba 2015
§
Leicester v Chelsea 23:00
No comments:
Post a Comment