Paul Pogba Mbioni kuelekea Barcelona. - WINGU LA HABARI- ONLINE

Breaking

TANGAZO

TANGAZO
Sugar free

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, November 28, 2015

Paul Pogba Mbioni kuelekea Barcelona.


Kuna maneno kuwa kiungo wa timu ya ufaransa Paul Pogba kuelekea Barcelona au Manchester City lakini kiungo huyo atabaki kwa vibibi vizee vya turini katika kipindi hiki”,Alisema Mino Raiola.


Mino Raiola ambaye ni wakala wa kiungo huyo wa Juventus amesema Paul Pogba mwenye miaka 22 ataondoka katika ligi hiyo ya Serie A mwishoni mwa kipindi cha mwaka 2015.

Mino Raiola ambaye pia ni wakala wa wachezaji Zlatan Ibrahimovic na Mario Balotelli, amesema mchezaji huyo wa timu ya Taifa ya Ufaransa anafurahia maisha aliyonayo katika klabu yake ya Juventus.

Amesema hawezi kuondoka katika kipindi cha usajili wa january ila hadi mwakani mwezi wa 7 na muda ukifika wa kuondoka ataondoka kama akhitaji kuondoka klabuni hao.


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here