Kilimanjaro Star Kushuka dimbani Leo. - WINGU LA HABARI- ONLINE

Breaking

TANGAZO

TANGAZO
Sugar free

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, November 28, 2015

Kilimanjaro Star Kushuka dimbani Leo.


Kikosi cha timu ya soka ya Tanzania Bara ‘Kilamanjaro Stars’ leo inashuka dimbani katika hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge kukipiga na na wenyeji wa michuano hiyo timu ya Ethiopia.

 Kilimanjaro StarsKili Stars inashuka katika mchezo huo wa kukamilisha ratiba ya makundi baada ya kuanza vyema katika michezo yake miwili ya michuano hiyo.na kujihakikishia hatua ya kuingia robo fainali.

Kilimanjaro Stars imeingia robo fainali baada baada kuwatandika timu ya Somali mabao 4-0 na kuitandika timu ya Rwanda mabao 2-1 katika michezo yake hiyo miwili ya mwanzo.


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here