Lamar Odom apata fahamu siku 3 baadaye. - WINGU LA HABARI- ONLINE

Breaking

TANGAZO

TANGAZO
Sugar free

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, October 18, 2015

Lamar Odom apata fahamu siku 3 baadaye.

Mchezaji wa mpira wa vikapu Lamar Odom.







Mchezaji wa zamani wa mpira wa vikapu katika ligi ya NBA nchini Marekani Lamar Odom hatimaye amepata fahamu siku tatu baada kuzirai ndani ya danguro katika jimbo la Nevada.
Chanzo cha habari kimesema kuwa bwana Odom alizungumza na kutoa maamkuzi ya kidole katika kitanda chake cha hospitalini.
Alikuwa katika mashine ya usaidizi baada ya kupatikana siku ya jumanne akitokwa na damu puani na mdomoni.



Wafanyikazi wa danguro la Love Ranch,huko Crystal,Nevada wamesema kuwa bwana Odom alikuwa katika danguro hilo kwa siku kadhaa na amekuwa akila dawa za kulevya aina ya cocaine .

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here