IIDADI YA MAUZO KATIKA SOKO LA HISA IMEPANDA MARA TATU. - WINGU LA HABARI- ONLINE

Breaking

TANGAZO

TANGAZO
Sugar free

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, October 21, 2015

IIDADI YA MAUZO KATIKA SOKO LA HISA IMEPANDA MARA TATU.

Meneja wa Soko la hisa (DC) Patric Mususa.
Idadi  ya mauzo katika soko la hissa (DC) imepanda mara tatu kutoka 8.5   kwa wiki iliyopita hadi kufikia bilioni 24. 3 kwa wiki hii.

Akizungumza na Wingu la habari  meneja wa soko hilo Patric Mususa amesema kuwa pia idadi ya hissa zilizonunuliwa na kuuzwa katika soko imeshuka  kutoka milioni 14 kwa  hadi kufika  hadi kufukia milioni 10 wiki hii.

Aidha amebainisha kuwa Kampuni tatu zinazoongoza katika soko hisa zake  kununuliwa na kuuzwa ni pamoja na Baki ya  CRDB inayoongoza kwa 86%, TBL ikiwa na  10% uku  Twiga Cement  ikishika nafasi ya tatu ikiwa na  1.4%.

Mususa amsema mtaji wa soko umeendelea kubaki palepale trilioni 21.1, na mtaji wa makapuni ya ndani ukiwa  trilioni 9.7  na kuongeza kuwa baadhi ya Makampuni ikiwemo DCB  baki kwa 1.7% pamoja na TBL kwa 1.3%.

Na kiashiria katika  sekta ya viwanda kimepanda kwa point 27 kikiwa kimechangiwa na punguzo bei kwenye kaunta ya TBL pamoja na kampuni ya twiga cement ,Wakati kiashiria cha sekta ya huduma za kibenki na kifedha kimepanda kwa point 13, kikiwa kimechangiwa na punguzo la bei ya katika kaunta ya DCB baki pamoja baki NMB .

Uku kiashiria cha sekta ya huduma za kibiashara kikishuka kwa point 20 kikiwa kimechangiwa na punguzo la bei ya katika  kampuni SWISSPORT  kwa  0.68%.

Mususa amebainisha kuwa huduma ya kununua na kuuza hisa kwa njia ya simu ya mkononi inaendelea vizuri  mpaka muda huu kuna idadi ya watu Zaidi 1000 wanaendelea kufaidia na huduma hiyo , nakuwataka wanchin pamoja na taasisi mbalimbali kutumia huduma hiyo   kwa kupiga namba*150*36#.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here