CRDB BAKI YAONGOZA SOKO LA HISA KWA 97%. - WINGU LA HABARI- ONLINE

Breaking

TANGAZO

TANGAZO
Sugar free

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, October 12, 2015

CRDB BAKI YAONGOZA SOKO LA HISA KWA 97%.

Idadi  ya mauzo katika soko la hissa (DC) imeshuka kutoka bilioni 12.2  kwa wiki iliyopita hadi kufikia bilioni 8. 5  kwa wiki hii.

Akizungumza na Wingu la habari Meneja wa soko hilo Patric Mususa amesema  kuwa   pia idadi ya hissa zilizonunuliwa na kuuzwa katika soko kwa ujumla zimepata kutoka  milioni 9.1 hadi kufika  hadi kufukia milioni 14.

Kampuni tatu zinazoongoza katika soko hisa zake  kununuliwa na kuuzwa ni pamoja na Baki ya  CRDB inayoongoza kwa 97%, TBL 1.28% NMB baki 0.61%.

Sanjali na hayo idadi ya mtaji wa soko imeshuka kutoka kutoka trilioni 21.8 hadi trilioni 21.1, wakati  mtaji wa makapuni ya ndani imeshuka   kutoka trilioni 9.8 hadi kifikia trilioni 9.7

Pia kampuni  mbili zimeongoza katika ongezeko la bei ya hisa zake ambazo ni KKC baki imaongoza kwa 2.2%, NATION MEDIA GROUP NMG kwa asilimia moja  .

Kiashiria cha soko kimeshuka kwa point 77 kikiwa kimeshangiwa na punguzo la bei  katika kampuni mbalimbali ikiwemo  , simba cement pamoja na  twiga cement.

Kiashiria katika  sekta ya viwanda kimeshuka kwa point 33 kikiwa kimechangiwa na punguzo bei kwenye kaunta ya  twiga cement kwa 0.89% pamoja simba cement kwa asilimia 14.86.

Wakati kiashiria cha sekta ya huduma za kibenki na kifedha kimeshuka kwa nukta 27 kikiwa kimechangiwa na punguzo la bei ya katika kaunta ya DCB baki kwa asilimia 2.56 na  NMB kwa asilimia 1.4,
 na kiashiria cha sekta ya huduma za kibiashara kimeshuka kwa nukta 37 kikiwa kimechangiwa na punguzo la bei ya hisa SWISSPORT kwa hisa asilimia 1.22.

Mususa amebainisha kuwa huduma ya kununua na kuuza hisa kwa njia ya simu ya mkononi inaendelea vizuri  mpaka muda huu kuna idadi ya watu Zaidi 800 wanaendelea kufaidia na huduma hiyo .

,nakuwataka wamnchi kuendelea kutumia huduma hiyo kwa kupiga *150*36#.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here