WANAMGAMBO WA SYRIA WAKABIDHI SILAHA KWA KUNDI LA AL-NUSRA - WINGU LA HABARI- ONLINE

Breaking

TANGAZO

TANGAZO
Sugar free

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, September 26, 2015

WANAMGAMBO WA SYRIA WAKABIDHI SILAHA KWA KUNDI LA AL-NUSRA

Baadhi ya wanamgambo wa Syria







Imebainika kwamba baadhi wa wanamgambo wa Syria waliopewa mafunzo ya kijeshi na Marekani wametoa silaha zao na kuwapa kundi la al-Nusra, lenye mafungamano na kundi la Al Qaeda.
Msemaji mkuu wa jeshi la Marekani alikiri kwamba wanamgambo hao walisalimisha magari sita pamoja na silaha kwa kundi hilo mapema wiki hii.
Kundi hilo ni la pili kupewa mafunzo hayo ya kijeshi na wizara ya ulinzi ya Marekani Pentagon na ni sehemu ya jumla ya wapiganaji 70.

Kundi la mwanzo kupewa mafunzo hayo lilivamiwa na wapiganaji wa kundi la al-Nusra mara tu lilipoingia Syria mwezi Julai, na kuzusha wito wa kufutwa kwa mafunzo hayo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here