BUFFON AMKUBALI KIPA MWEZAKE CASILAS. - WINGU LA HABARI- ONLINE

Breaking

TANGAZO

TANGAZO
Sugar free

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, September 29, 2015

BUFFON AMKUBALI KIPA MWEZAKE CASILAS.

kipa mahili Gianluigi buffon akiwa katika majukumu
yake ya kazi.












Kipa nyota wa duniani Gianluigi Buffon ameweka wazi mapenzi yake ya dhati juu ya kipa mwezake mwingine Iker Casillas.

Buffon amesema Casillas ni kipa bora kwa ngazi ya klabu na taifa, lakini anashangazwa na mambo yalivyobadilika kwake haraka na wengine kufikia kumvunjia heshima kwa kumzomea, jambo ambalo anaamini si sahihi hata kidogo.

"Navutiwa sana na Casillas, ameshinda kila kitu katika mpira. Anajua kila kitu katika mpira na amekuwa mtu bora na mpambanaji wa dhati.

“Anastahili heshima kubwa, kwangu hata kama angepiga mpira uingie langoni na kujifunza, bado hastahili kuzomewa, apigiwe makofi,” alisema Buffon.

Baada ya kuona mambo yake hayaendi vizuri na Real Madrid, Casillas aliamua kuondoka na kujiunga na FC Porto na leo atakuwa uwanjani timu yake ikicheza na Chelsea.


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here