![]() |
| Meneja wa Liverpool Brendan Rodgers. |
Meneja wa
Liverpool Brendan Rodgers ametupiwa virago baada ya kukubali sare ya 1-1 dhidi
ya Everton katika mchezo wa leo wa ligi kuu ya England.
Matokeo
hayo yamekuwa mabaya kwake kwani ameshinda
mchezo mmoja tu kati ya michezo tisa msimu huu akiwa katika uwanja wa
Anfield.
Rodgers
aliteuliwa mwezi Juni mwaka 2012 kuiongoza Liverpool nakumaliza nafasi ya pili
katika Ligi Kuu ya england msimu uliopita akiwa nyuma ya Manchester City .

No comments:
Post a Comment